1 Samuel 21:11

11 aLakini watumishi wa Akishi wakamwambia, “Je, huyu si ndiye Daudi mfalme wa nchi? Je, huyu si ndiye yule ambaye wanaimba katika ngoma zao wakisema:

“ ‘Sauli amewaua elfu zake,
naye Daudi makumi elfu yake’?”
Copyright information for SwhNEN